WAKULIMA 15, 000 WANUFAIKA NA ELIMU YA KILIMO TOKA TAASISI YA DCT MKOANI DODOMA

Ña Barnabas Kisengi-Dodoma Mradi wa kilimo hifadhi unaotekelezwa na Taasisi ya Huduma za maendeleo ya Dayosisi ya Central Tanganyika DCT umewanufaisha Wakulima takribani 15,000 wa Wilaya za Dodoma Mjini, Bahi na Wilaya ya Chamwino zilizopo Mkoani Dodoma baada ya kuwapa mafunzo wakulima  kuhusu umuhimu wa Kilimo hifadhi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Lister Nyang’anyi  amesema hayo