WAKULIMA 15, 000 WANUFAIKA NA ELIMU YA KILIMO TOKA TAASISI YA DCT MKOANI DODOMA
Ña Barnabas Kisengi-Dodoma Mradi wa kilimo hifadhi unaotekelezwa na Taasisi ya Huduma za maendeleo ya Dayosisi ya Central Tanganyika DCT umewanufaisha Wakulima takribani 15,000 wa Wilaya za Dodoma Mjini, Bahi na Wilaya ya Chamwino zilizopo Mkoani Dodoma baada ya kuwapa mafunzo wakulima kuhusu umuhimu wa Kilimo hifadhi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Lister Nyang’anyi amesema hayo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed